
Artist toka Uganda wamefanya remix ya hit track ya Artist toka Angola,Cabo Snoop ya Windeck
Artist Navio,Peter Miles na Airport Taxi Crew inayoundwa na rappers,William na Tucker na female vocalist Martha na wamegonga Remix hiyo ambayo imefanyika jijini Kamoala-Uganda kwenye studio ya Talent Africa,chini ya Producer Samurae
No comments:
Post a Comment