Kwa
waliokuwa na hamu ya kumuona huyu naye akiwa nusu uchi na
kivazi cha kuogelea tuu, huu sasa ni wakati wao.....
Coca
Cola pop Star maarufu kwa jina la Shaa amedai kuwa yupo
tayari kuvua nguo zake hadharani na kuyaanika maungo yake
nyeti na kubakiza kichupi cha kuogelea tu endapo video yake
mpya ya Lava Lava itafikisha views 100,000 katika mtandao wa
youtube
analazimisha tuiangalie ama?hatudanganyikiiiiiiiiiiiiiii,siangaliii ng'ooooooooo,chizi huyo.
ReplyDelete