Thursday, May 23, 2013

PICHA / ZA NUSU UCHI ZA KUNDI LA "ZE KOMEDI' ZAVUJA'.....HII NI ZAIDI YA AIBU

BONGO DAWN TOWN

Picha za aibu  zinazowaonesha wasanii wa kundi la Ze Komedi wakiwa kwenye fukwe moja ya huko Kigamboni zimezua balaa kubwa ......
 Happy  kabla  hajavua  nguo.... 
==
Mtandao  huu  umefanikiwa  kuzipata  picha  hizi  kutoka  kwa  msomaji  wetu  mpendwa  ambaye  kwa  uzalendo  wake  ametutumia  kwa  njia  ya  email  huku  akielezea  kwa  kifupi  kuhusu  sakata  hilo  la  aibu.....
Happy akichezewa matiti na master Face huku akichekelea
Huyu  ni  Happy na Master  Face  wakifanya  Uchafu wao....Hapa  wanatomasana  kabla ya uzalendo kuwashinda  na  kuamua  kuvunja  amri  ya  sita...
Vipi  baby....umezidiwa.....!!!! Aibu tupu 
==
Mdau  huyo  anaripoti  kwamba, kundi  hilo  liliingia  ndani  ya  ufukwe  wa  Chadibwa  na  kuanza  kufanya  mambo  ya  aibu  mbele  ya  watu..... 
Wasanii  walioongoza  kwa  mambo  ya  aibu  ni  mdada  mmoja  aliyejulikana  kwa  jina  la HAPPY  ambaye  ni  mrembo  aliyejigeuza  mbwa  na  kukubali  kushikwashikwa  ovyo  matiti  yake  na  viungo  vingine  "sensitive"  bila  kujali  watu.....
 Matiti  bado  yanaendelea  kuteswa
Kiwewe  naye  alikuwa  kivyake  na  wakwake.....
  Mbali  na  Happy, kulikuwa  na Msanii KIWEWE ambaye  yeye  alikuwa  akijimilikisha  VIUNO  vya mabinti  hao  bila  aibu..... 
 Achilia  mbali Kiwewe, alikuwepo  pia  MANAIKI SANGA  ambaye  naye  alikuwa  akikumbatia  watatu  watatu....Cha  ajabu  ni  kwamba, yeye  alikuwa  kavaaa, akina  dada  walikuwa  uchi.....
 Aliyetia  aibu  ya  mwaka  ni MASTER FACE ambaye  kwa  mujibu  wa  mdau  alitutumia  picha  hizi  ni  kwamba  yeye  na HAPPY  walifikia  hadi  hatua  ya kuvunja  amri  ya  sita  nyuma  ya  gari.....!!!!
Uzalendo uliwashinda wakaamua  wamalizane....
 Asante  sana  mdau  kwa  picha  na  maelezo..... 

Thursday, May 9, 2013

SALAMA JABIR "AKINYONYWA ULIMI" NA MDAFADA HADHARANI......!!

BONGO DAWN TOWN
Katika  pitapita   zangu nimefanikiwa  kumnasa  live  Salama Jabir  akinyonyana  ndimi  bila  chenga  na  mwenzake...!!
Nashindwa  kuthibitisha  huyo  wa  pili  ni  nani  na  ni  jinsia  gani....nikimwangalia  haraka  haraka  naona  kama  ni  mwanaume  na  namfananisha  na  mdogo  wake    Wema   Sepetu  aitwaye  Bill Sepetu.....
Nikijaribu  kukaza  macho  kwa  kwa  makini,  huyo  wa  pili  namuona  kama  ni  mwanamke  kutokana  na vazi  lake.Hicho  cha  mabegani  nakifananisha   na  sidiria  za  akina  dada....!!
Yaani  nimeumiza  macho  mpaka  yanauma...Nashindwa  kuyaamini  macho  yangu  kuhusu  Salama Jabir. Sikutegemea..!!

Wednesday, May 1, 2013

HAMMER Q AMCHAKAZA NA KUMTOA MANUNDU MKEWE MARA BAADA YA KUMTAMBULISHA KWA TX MOSHI...!!

BONGO DAWN TOWN

Baadhi ya picha za mkewe baada ya kipigo


Nguo za Hammer Q zikiwa zimetapakaa damu

HAMMER Q AMCHAKAZA NA KUMTOA MANUNDU MKEWE MARA BAADA YA KUMTAMBULISHA KWA TX MOSHI...!!

BONGO DAWN TOWN

Baadhi ya picha za mkewe baada ya kipigo


Nguo za Hammer Q zikiwa zimetapakaa damu

HAMMER Q AMCHAKAZA NA KUMTOA MANUNDU MKEWE MARA BAADA YA KUMTAMBULISHA KWA TX MOSHI...!!

BONGO DAWN TOWN

Baadhi ya picha za mkewe baada ya kipigo


Nguo za Hammer Q zikiwa zimetapakaa damu

DUH,CHUKUA TIME YAKO KUSOMA BARUA HII ALIYOTUMIWA DIAMOND PLATINUMZ NA MAMA YAKE MZAZI

BONGO DAWN TOWN


Dear diamond....sina imani we ni mzima wa afya kutokana hasa namambo unayofanya kiukweliii katika wasanii wakali mpaka kupitiliza hapa tz wew ni mmoja wapo.. napenda sana vibonzo vyako hasa kile cha " nani amenuna nani amenuna eti nani amenuna" najua utakua umemalizia WEMA... katika kila shoo zako unazofanyaga mara nyingi huwa unataja kumheshim sana mama yako mzazi kutokana na malezi aliyokupa toka kipindi kile unauza MITUMBA.. lakini saiz unafanya mama wa watu aonekane alizaa toto zinzi ambalo kama limetumwa kuzini na kuumiza wanaume wenzie.. ivi unajua mke anauma kias gani hata kama wanajileta we ni mtu mzima ambaye unatakiwa kupembua mambo.... hasa kuhusu jambo la HILI MBURULA LENZIO UWOZO or SORY I mean UWOYA.. unajua kabisa kaka yetu NDIKU ambaye anafanya kazi ngumu ya kukabana
na wakina NSAJIGWA NFUSO uwanjani ili apate chochte cha kulisha family yake lakini wew bila
huruma una ramba asali yake... ivi unajua mtoto wa uwoya "krish" atakopukua njiani kwenda shule
wenzie watakua daily wakimuambia " mtoto wa kambo wa DOMO huyo' ivi dear diamond mbna
unataka mama yako asipewe heshma sababu ya wew hujui ka unamfanya awe despsd infrnt of da
pple... najua hujaelewa coz elimu kwako ni tatizo
utampigia wema akufafanulie ila usi mrecord coz anakusaidia ww.... au umea athirika unafanya
kusambaza.. hawa wanawake wapo toka enzi za ma dinossaurs,,, mwambie penny akuambie maANA ya
dinossaurs.. huu mda unaoangaika na wanawake ungejiendeleza ata kielimu iyo 4m four itakufksha
wap.. na wew mama diamond ivi huoni anachofanya mwanao unashindwa kumshauli au
unataka uje kumwambia akishaanza kuharisha na kumvisha visepe.. ERIC SHIGONGO naomba ukiiona
hii itupie kwenye ijumaa wikienda ili babu yangu wa ileje Ambaye hatumiii fb asome mana kila siku
amekua akiipenda nyimbo ya mbagala bila kujua uovu wa aliyeimba kwa leo yatosha ila TACAIDS
naamini itakutemblea diamond siku si nyingi kkupa matumizi saHII YA arv
wako shabiki nambA MOJA DUNIA NZIMA....... via mbele kuchungu

Mbeya region
P.O.BOX 0759209081
MBEYA

Wednesday, April 24, 2013

UWOYA KUJIPATI MILIONI 200 ZA BUREEEEE KUTOKA GLOBAL PUBLISHERS. SOMA MCHEZO WOTE HAPA

BONGO DAWN TOWN

DIVA anayetesa katika sinema za Bongo, Irene Pancras Uwoya ananukia utajiri ambapo hivi karibuni ‘anatarajia’ kuogelea kwenye
 
Mfano wa sehemu ya fedha atazolipwa Uwoya
mamilioni ya fedha kwa kukomba Shilingi Milioni 200 za madafu, Risasi Mchanganyiko lina kila kitu mkobani.
Uwoya ni mke halali wa msakata kabumbu wa kulipwa nchini Rwanda, Hamad Ndikumana ‘Kataut’ ambapo ndoa yao ilifungwa

mwaka 2009 katika Kanisa Katoloki, Parokia ya Mt. Joseph, Posta jijini Dar es Salaam.

KUTOKA DAR ES SALAAM
Msanii huyo ambaye hakaukwi na skendo, huenda akaibuka milionea ikithibitika kwamba habari iliyoandikwa na gazeti damu moja

na hili, Ijumaa Wikienda la Jumatatu Aprili 8 – 14, toleo namba 310 iliyokuwa na kichwa; UWOYA, DIAMOND WANASWA

HOTELINI ni ya uongo.
Habari kutoka katika vyanzo vyetu vya kuaminika, zinasema kuwa  mdada huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja aitwaye Krish

Hamad Ndikumana yu mbioni kuandika barua ya madai kupitia kwa mawakili wake  waliopo Dar ili kudai fedha hizo kwa maelezo

(eti) alichafuliwa na kuingiliwa faragha yake.

KIVIPI SASA?
Moja ya vyanzo hivyo ambacho ni shosti wa karibu na Uwoya alilieleza gazeti hili kuwa baada ya habari ile kutoka gazetini,

mawakili hao walimfuata na kumwambia kuwa pamoja na machungu aliyoyapata, habari ile kwake ni dili na inaweza kubadili

maisha yake (mh!).
“Amefuatwa na mawakili zaidi ya wanne kwa nyakati tofauti lakini kuna mmoja anaonekana kumuamini zaidi ndiye anayedili naye

kwa sasa. Huyo wakili amemhakikishia kuchukua hizo fedha kwa kuwa zipo njenje,” alisema shosti huyo na kuongeza:
“Kikubwa alichomwambia huyo wakili ni kwamba ile habari imemdhalilisha na imeingilia uhuru wa faragha yake kinyume na sheria

ya nchi yetu.”
Akaongeza: “Amemhakikishia kutumia ufundi wake wote kuandika barua yenye vitisho vitakavyosaidia kulifanya gazeti hilo litoe

hizo fedha kabla ya suala hilo kufikishwa mahakamani kupambana kwenye sheria.” (tuko ngangari).

NI FARAGHA IPI HIYO?
Chanzo hicho kimeendelea kufafanua kuwa wakili wa Uwoya amemweleza kwamba barua yake hiyo ya madai itaandikwa kwa

kuzingatia mwongozo wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo kwa maelezo yake imevunjwa.
Habari za moto zinapasha kuwa, barua hiyo itazingatia kuvunjwa kwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 16

kifungu kidogo cha 1 ambacho kimekataza watu kuingiliwa katika faragha zao.
“Kiukweli ana imani naye sana na amemhakikishia kuzoa hizo fedha kwa sababu ana ufahamu mkubwa na sheria na namna ya

kupanga maneno katika barua hiyo,” alisema.

KUKUNUA GARI, KUJENGA NYUMBA YA KIFAHARI
Pekupeku za Risasi Mchanganyiko zinaeleza kwamba kwa sasa Uwoya ana uhakika wa kubadilisha maisha yake mara baada ya

utaratibu wa barua hiyo kukamilika na kufika kwa uongozi wa Global Publishers.
Imeelezwa kwamba, kitu cha kwanza ambacho Uwoya amepanga kufanya ni kununua gari la kifahari na kuachana na analotumia

sasa ambalo si lake huku mpango wa pili ukiwa ni kujenga nyumba bora ya kisasa. (Uwoya bwana!)
“Anataka kuanza kuishi maisha ya kistaa zaidi, anasema eti gari analotumia sasa hivi halifanani na hadhi yake. Kitu kingine

anachofikiria ni kujenga nyumba ya kifahari Mbezi Beach (kwenye upepo mwanana). Anasema kule ni pazuri zaidi kwa sababu ni

nyumbani kwao.
“Hivi ninavyozungumza na wewe tayari ameshaonana  na wataalam wa ramani ili waweze kumshauri mjengo mzuri wa kisasa

ambao ataujenga baada ya kuchukua hizo fedha,” alisema.

MHARIRI KIZIMBANI
Mhariri wa Gazeti la Ijumaa Wikienda lililotoa habari hiyo ya Uwoya na Diamond kunaswa (jina kapuni) alipatikana juzi Jumatatu

jijini Dar es Salaam na kusomewa mashitaka yake ambapo alitoa ushirikiano wa kutosha.
Akizungumza kwa kujiamini, mhariri huyo alisema: “Bado sijapokea barua ya namna hiyo lakini ikija itanishangaza sana. Kufupi

nipo tayari kupambana na hiyo kesi kwa sababu waandishi wangu walifanya kazi nzuri na upo ushahidi wa kutosha mezani kwangu,

 waje tu. Teeh! Teeeh! Teeeeeh!”
Kuhusu gazeti lake kuingilia faragha ya Uwoya kama madai yanavyoeleza, mhariri: “Ni faragha ipi hiyo iliyoingiliwa kwa Uwoya na

Diamond? Ukisoma ile habari mstari kwa mstari na kutazama zile picha, utaona kwamba kilichoripotiwa ni wao kunaswa hotelini

wakiingia usiku na kutoka siku inayofuata.
“Hakuna picha wala aya yoyote katika ile habari iliyoonesha kwamba, waandishi wangu walimfuata Uwoya na Diamond chumbani

walipokuwa kwenye faragha yao. Labda walipokuwa mapokezi na kupita kwenye korido ndiyo faragha yao! Ha! Haa! Haaa!
“Tuliripoti  kunaswa hotelini tu hasa kwa kuwa tunajua kuwa Uwoya ni mke wa mtu na Diamond ana mchumba. Ni hivyo tu.

Hakuna cha kujadili sana hapa ndugu mwandishi teh!”

HEBU PATA PICHA KIDOGO
Katika habari inayodaiwa kulalamikiwa na Uwoya hadi kufikia kukubaliana na wakili wake kupeleka barua ya madai, ilieleza hatua

kwa hatua ya namna mastaa hao  walivyoingia katika hoteli moja ya kifahari yenye hadhi ya nyota tano (jina lipo), Mbezi Beach

jijini Dar es Salaam na kuishia katika chumba namba 208.
Upo ushahidi wa picha za mnato na video zikimwonesha Diamond ambaye muda mfupi baada ya kuingia katika chumba hicho

alitoka mapokezi kulipa na kuandikisha akiwa amevaa viatu vya Uwoya (video ipo jamani).
Baada ya kuingia katika chumba namba 208 alichokuwa Uwoya mishale ya saa 8:24 usiku, wote wawili hawakutoka hadi kesho

yake, saa 9:00 mchana.
Awali, wakati wanaingia katika hoteli hiyo ambayo tayari ilikuwa chini ya ulinzi wa mapaparazi wa Global, Diamond alikuwa na gari

la Uwoya aina ya Toyota Fortuner na Uwoya alikuwa na la Diamond, Toyota Land Cruiser Prado (picha kibao zipo zikionesha

hivyo).
Baada ya mkesha wao, wakati wa kuondoka kila mmoja aliondoka kivyake kwa kutumia gari lake.

KICHEKESHO CHA UWOYA
Mara baada ya habari hiyo inayodaiwa kupangiwa kuzolea mamilioni ya shilingi kutoka kwenye Gazeti la Ijumaa Wikienda, Uwoya

alipiga simu kwa waandishi mbalimbali wa Global na kulalamika  kwamba habari ile inaweza kuharibu ndoa yake.
Uwoya, huku akijua muda mrefu kwamba kuna tetesi za yeye kutoka na Diamond, alimpigia simu mmoja wa waandishi wetu na

kusema: “Yametimia. Sijui kama kuna ndoa tena. Kila kitu kimeharibika sasa, lakini kwa nini hamkunipa nafasi ya kuzungumza

kwanza?”
Hata hivyo, alipopata nafasi ya kuzungumza na paparazi mwingine, Uwoya hakuwa na cha maana cha kujieleza zaidi ya

kujibaraguza na kudai kuwa habari ile imemfedhehesha na kwamba hawezi kutoka kimapenzi na Diamond.
Uwoya alipoelezwa kwamba timu ilikuwa na ushahidi wa kutosha wa picha za video alikanusha na kudai kuwa angeweza kuja

kuziona ofisini ili kujiridhisha. Hata hivyo, hakutokea mpaka giza linaingia siku hiyo.
Kwa upande mwingine, Uwoya alimwambia mwandishi mwingine: “Ndoa yangu imevunjika rasmi asubuhi hii. Mume wangu

alizimia baada ya kuiona ile habari yenu, nyienyie.” (mazungumzo hayo yemerekodiwa, siku akitaka afike Global na mawakili wake

wasikie sauti).

WADAU WAKE JE?
Kabla ya mchana wa siku ambayo habari hiyo ilitoka, tayari stori hiyo ilikuwa imeshasambaa katika mitandao mbalimbali ya

kijamii na wadau walitoa maoni yao, wengi wakimshambulia Uwoya kwa kuacha ndoa yake na kwenda kujirusha na ‘bwana mdogo’

sana, Diamond.
“Mtoa maoni mmoja alitupia hivi: “Mh! Bado sijapata picha ya sampuli ya Uwoya. Ni mwanamke wa aina gani? Si juzi tu alipatana

na mumewe sasa inakuwaje anakutwa na Diamond usiku hotelini?”

IRENE UWOYA NI NANI?
Irene Uwoya ni Miss Tanzania namba 5, mwaka 2006 akitanguliwa na Wema Sepetu, Jokate Mwegelo, Lissa Jensen na Victoria

Martin. Kwenye filamu aliibuliwa na Lucy Komba katika katika sinema yake iliyomkutanisha na Yusuf Mlela.
Kwa sasa ni Makamu Mwenyekiti wa Bongo Movie Unit akiwa chini ya Mwenyekiti Vincent Kigosi ‘Ray’.

KIFUATACHO
Baada ya kumheshimu na kutunza siri zake kwa muda wote huo, Global Publishers imejipanga kuvunja ukimya kwa kuanika video

ya Uwoya na Diamond hatua kwa hatua kuanzia walipoingia hotelini.
Zoezi hilo litafanyika mapema sana mara baada ya kujiridhisha kwamba ni kweli anatarajia au amefikisha barua hiyo ya madai

katika ofisi  za Global.
Mtandao namba moja kwa burudani Bongo, www.globalpublisherstz.com ndiyo utakuwa wa kwanza kuanika kabla ya kuhamishia

kwenye mitandao mingine ya kijamii ukiwemo ule maarufu wa Youtube ili kutoa nafasi kwa Watanzania kuona kama ‘Oparesheni

Fichua Maovu ya Global’ inafanya kazi kweli au ni fiksi tu na faragha iliyoingiliwa ni ipi?!
CHANZO : GPL

BAADA YA TUNDA MAN KUAMUA KUSUKA, RAIA WENGI WAMPONDA

BONGO DAWN TOWN

Monday, April 22, 2013

LADY JAY DEE " NAAMINI KABISA MUNGU SIO RUGE WALA KUSAGA.

BONGO DAWN TOWN


Baada ya mafumbo mengi na vijembe huko twitter na bbm hatimaye mwandana komandoo na star Lady Jay Dee ameamua kufungua na kutaja majina ya hao watu wenye beef nae kupitia ukurasa wake wa twitter. Jide amefungua na kupost yafuatayao. 

Friday, April 19, 2013

Mambo Yanayochangia Mume Kutembea na Hausigeli

BONGO DAWN TOWN

NI siku nyingine tulivu kabisa tunakutana tena kupitia safu hii nikiamini umzima bukheri wa afya na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku.
Mimi nitakuwa mchoyo wa shukurani kama sitachukua nafasi hii kumshukuru Mungu kwa mema ambayo amekuwa akinitendea katika kila siku ya maisha yangu.

Ndugu zangu, malalamiko ya baadhi ya mabinti wanaofanya kazi za ndani ‘mahausigeli’ kuwazidi kete baadhi ya wanawake kwa kuwachukulia waume zao yamekuwa yakiripotiwa kila mara.
Si ajabu hata wewe unayesoma makala haya aidha umeshawahi kumsikia rafiki kama siyo jirani yako akikorofishana na hausigeli wake au kushuhudia hausigeli akifumaniwa na bosi wake.

Hakika ni matukio ya aibu sana. Inafika wakati unajiuliza inakuwaje mume anamtongoza na hatimaye kutembea na hausigeli wake? Ameshawishiwa na kitu gani au amekosa nini kwa mkewe mpaka anafikia uamuzi huo?
Kimsingi linapotokea tukio kama hili, wengi hujiuliza maswali mengi sana na majibu yake huwa ni magumu kupatikana. Hii ni kwa sababu ni jambo lisilotarajiwa kufanywa na mtu aliyestaarabika. Hata hivyo, tuna kila sababu ya kujua chanzo cha tatizo hili.
Nitajaribu kuzungumzia kipengele kimoja baada ya kingine kuhusiana na yapi yanayotajwa kuwasukuma baadhi ya wanaume kutembea na mahausigeli wao.
Wanawake wanajitakia
Ni jambo ambalo limekuwa likilalamikiwa sana na baadhi ya watu kuwa, inakuwaje hausigeli anapewa majukumu ya kumhudumia mume wakati mke yupo?
Ni ukweli usiofichika kwamba, kuna baadhi ya wanawake ni malimbukeni wasiojua jinsi ya kuitunza ndoa. Hawajui namna ya kumshika mume na kumuepusha na vishawishi vinavyoweza kumfanya akamsaliti.
Ndugu zangu, kitendo cha mke kumruhusu hausigeli amfulie mumewe nguo zake za ndani, amuandalie chakula, ampelekee maji ya kuoga na mambo mengine kama hayo ndivyo vimekuwa vikichochea usaliti huu.
Kama mke hataki kusalitiwa kirahisi basi ajitahidi sana kuchukua jukumu la kufanya yale ambayo kwa kiasi kikubwa yakifanywa na hausigeli huweza kujenga ukaribu wa kimapenzi kwa mumewe. Kamwe usibweteke, ukibweteka hausigeli wako atakupindua na itakuwa ni aibu kwako.
Mahausigeli micharuko
Hivi inaingiaje akilini mke kuridhia kumuajiri hausigeli ambaye kwa macho tu anaonekana hajatulia? Unamuajiri hausigeli ambaye siku ya kwanza tu anataka umpe sehemu ya mshahara wake akafanye ‘shopping’ halafu unakubali, unajitaka kweli?

Maskini Wema Sepetu Achoshwa na Skendo_Atoa Maneno Mazito

BONGO DAWN TOWN

Wema  Sepetu  anaonekana  kuumizwa  sana  na  kitendo  cha  Diamond  kumrekodi  wakati  anajitongozesha  kwake  usiku  alipokuwa  na  mpenzi  wake  Penny....

Walipomrekodi, waliisambaza  clip  hiyo  mitandaoni  na  katika  vituo  kadhaa  vya  redio.....

Hii  ni  fedheha  ambayo  nadhani  Wema Sepetu  hataisahau  maishani  mwake ....
Maneno aliyoandika Haya Hapa:


Mr Nice Hajutii Kuporomoka Kimuziki na Maisha Mabaya Aliyo Nayo kwa Sasa

BONGO DAWN TOWN

For at least four years, Tanzanian singer Mr. Nice who over the week was reborn through Grandpa Records had been missing from the music scene.

Apparently during his MIA days, he had been living an extravagant life which saw him drift to poverty and during the unveiling of his comeback Mr. Nice said he has no apologies for that.

In his statement, he said that he knows he is a spender and yes he was just spending money from his sweat because he never knocked on anyone’s door to borrow money. On the question of his pride, he said that is him and he is not planning to change.

If anyone has a problem, they should deal with it.

The Kenyan DAILY POST

Thursday, April 18, 2013

PICHA / DIAMOND AKILA BATA NA BAADHI YA NDUGU ZAKE

BONGO DAWN TOWN
QBOY SHEM LAKE......
FARIDAH & QBOY MNYAMA.....

Huyu ni mama wa makamo.....aliposikia diamond yupo pande hizi akusita
 kuja
HAPPY FOREVER ......!!
Baada ya kumaliza kuogelea ikawa time ya kupata soft drink kabla ya kupata
chakula.....
watu wakifanya yao kwenye maswala ya makulaji....!!