Chuma Blog

Mwanadada
MirryCandle toka ChugaTown arusha sasa anarelease brand new single
yake ambayo ni mahadhi ya afrofusion ilotengenezewa pande za
noizmekah.com.Ikiwa ni love joint izungumziayo hisia za mwanadada akiwa
ameuvaa uhusika wa secret admirer.Ukimya nauvunja kwa kuahidi fans
wangu mfululizo wa ngoma kali mfululizo,video yangu ya candlelight
pamoja na audio yake,otherwise much respect kwa wadau wote nchini
katika media na majumbani,Pamoja sana
No comments:
Post a Comment