Saturday, April 7, 2012

KANUMBA AMEACHA GUMZO KWA WAPENZI WA FILAMU TANZANIA NA AFRICA KWA UJUMLA.

Chuma Blog
 Ni alfajiri kabisa kama saa 12 hivi watu wengine wakiwa ndio wanaamka na wengine wakienda kulala na kupata mshtuko wa kuondokewa na kipenzi chao kwenye tasnia ya filamu hapa bongo Steven Kanumba nyumbani kwake Sinza Vatcan. Chazo kinasema Kanumba alitoka kuoga na kumkuta Lulu ambaye inasemekana ni wapenzi akiongea na simu ndipo hapo ugomvi ulipoanzia mpaka kanumba kujikuta akidondokea kisogo na kutokwa na damu nyingi. Kwa sasa msanii wa kike Lulu anashikiliwa na police kwa maelezo zaidi

Watu wakiwa hawaamini kilichotokea 

 Hata mimi ilikuwa ngumu kuamini kwasababu nilikuwa nachat nae kwenye BBM hadi usiku na kumuuliza sikukuu hii bata tunalila wapi, halafu msg ya mwisho aliniambia kuwa anataka na mimi siku moja niingie kwenye filamu yake daaah "choka"

Msanii Shilole akiwa hajielewi kabisa akiingia nyumbani kwa Marehemu 

Rafiki mkubwa wa marehemu anaitwa Tito yeye ndio alikuwa na mwili wa marehemu hadi hosp ya Mwimbili  

Msanii Johari akiwa kwenye huzuni kabisa akifanya mahojiano ya TV  

 Kijana huyu yeye alipopata habari pale pale alianguka chini

H.Baba akiwasili nyumbani kwa Marehe Steven Kanumba 

Steve Nyerere akiwasili nyumbani kwa marehemu akiwa kwenye majonzi mengi 

Swahiba mkubwa wa Kanumba Ray akiwa mwenye huzuni nyingi 

http://www.djchoka.blogspot.com/

1 comment:

  1. I HAVE NEVER SEEN THE MAN FACE TO FACE EXCEPT IN HIS MOVIES!!!
    I DO NOT KNOW HIS LIFE INTERNALLY BUT VERY INTERESTED IN HIS LIFESTYLE!!
    I ENJOY WATCHING HIS MOVIES!!
    I ADMIRE HIS EFFORTS IN BRINGING UP MOVIE INDUSTRY IN TANZANIA!!
    THE LAST TIME I SAW HIM WAS IN MKASI @ CHANEL 5.........I SAID TO MYSELF...........''IF I GET A CHANCE TO SEE KANUMBA.I WILL PERSONALLY TELL HIM HOW MUCH I ADMIRE HIM, HIS EFFORTS AND HIS LIFE IN GENERAL!!!
    IF ONE DAY I WILL GET A CHANCE TO ACT AND BE A MOVIE STAR.......I WILL LIVE LOOKING UP TO EVERY STEP THAT HE MAKES.......''


    BUT THAT TIME WIL NEVER COME..............ONE WHO USED TO BE MY INSPIRATION IS GONE...............!!!

    I DO NOT KNOW HOW TO TAKE THIS NEWS BUT THERE IS NOTHING I CAN DO TO TAKE BACK TIME AND REPAIR THE DAMAGE DONE!!!!

    I PERSONALLY LOVED HIM VERY MUCH.......I HAVE NOW LOST A BROTHER, A FRIEND, AND MY ROLE MODEL.....!!!

    I WILL ALWAYS MISS HIM.......!!


    GOD GIVES AND GOD TAKES.....MAY HIS NAME BE GLORIFIED FOR EVER AND EVER.......AMEN!!!
    REST IN PEACE KANUMBA THE GREAT.............UNCLE JJ..........!!!!


    FOREVER WILL MISS YOU............CHIKU. P. SAROTA.

    ReplyDelete