Chuma Blog
TAMKO LAGU KINEGA RAMA DEE:kwanza nakupongeza Sugu kwa kutoa maamuzi yenye busara ila nakulaumu kwa kutonipa taharifa mapema japo nipo mbalili(Australia) movement ya Antivirus nguzo yake ni UMA tuliangaika kwa muda lakini tukaona muokozi we2 ni UMA umepanga kuwaambia nini hawa wa2 ambao wanajua matatizo ye2 na wamejitolea kutusaidia kimawazo kimuziki na kisheria na sio siasa...??nimetumiwa msg 3000 za kuniuliza maswali na sijajibu mpaka sasa so naomba Mp post huwo mkataba ulio ingia na ruge UMA uweze kuona na kuchambua hakuna siri wala haiwezi kuwa siri....Vinega wanahaki ya kujuwa kilakitu kinachoendelea kwa maandishi...siwezi kutangaza ushindi mpaka UMA utangaze..MP NAOMBA POST HUWO MKATABA ILI KILA KINEGA AUPATE KUPITIA FACE BOOK ILI RUGE AKISHINDWA KTEKELEZA UMA NDIO UTACHUKUWA MAAMUZI NA SISI KUPEWA KAZI YA KUFANYA asanteni sana nawapenda naheshimu mchango wenu.
No comments:
Post a Comment