
Kundi la P-Unit toka Kenya walitarajiwa kupata shavu la kutangaza laptop za HP kwenye kampeni iliyobatizwa jina la 'Get your beat On' ambazo mteja akinunua anapata na headphones kali za Beats by Dre
P-Unit wameungana na international artistes ambao walipata shavu kama hilo kama David Guetta,Alicia Keys,Justin Bieber,Sean ‘Diddy’ Combs,Lebron James na Lady Gaga
No comments:
Post a Comment