Zuena Kirema aka Mrs Bebe Cool toka Uganda ambaye anatarajiwa kujifungua twins anatarajiwa kuelekea nchini Marekani kwenda kujifungua
Za chini ya Carpet zinadai kuwa Bebe Cool miezi 3 nyuma alikua kwenye mishe mishe za kutafuta visa na nia yake ni kupata watoto ambao watazaliwa Marekani na kupata uraia,na pia awe kwenye mikono salama ya Mama yake Bebe Cool anayeishi Marekani
No comments:
Post a Comment