
Baada ya Artist kibao duniani kama Brothers Four,Helmut Lotti,Miriam Makeba,Harry Belafonte,Boney M,Usha Uthup,Angélique Kidjo kutengeneza version zao za wimbo maarufu toka Kenya,Msanii Redsan kwa sasa ameungana nao kiaina coz inafunguliwa kuwa naye yuko kwenye mishe za kugonga remix ya Malaika aka famous African ballad

FADHILI WILLIAM MDAWIDA
Redsan kwa sasa yuko studio akigonga remix ambayo wadau wanafunguka kuwa itamrudisha kwa kishindo kwenye tasnia ya muziki Afrika Mashariki na ngoma hiyo ya Malaika ilifanywa na Msanii Fadhili William toka Kenya akiwa na Bendi yake iliyoitwa Jambo Boys kwenye miaka ya 60
No comments:
Post a Comment