Rap star toka Nigeria,Naeto C amemtambulisha wife wake 2 b,Nicole Chukwueke kwenye sherehe ya kimila ikiwa ni maandalizi ya ndoa yao itakayofanyika mwaka huu wa 2012
Naeto C anatamba na ngoma ya Ten Over Ten,alisoma shule moja na mchumba wake huyo Nicole na wanatarajiwa kufunga ndoa baadaye mwaka huu
No comments:
Post a Comment