
Deni hilo linatokana na concert iliyoandaliwa na Kisseka pande za Kavumba Recreation Center mwezi May mwaka jana na kuelewana kupiga mzigo kwa Shs milioni 12 na Aziz Azioin kulipwa advance ya Shs milioni 4 tu na milioni 8angemaliziwa baadaye....Lakini hadi leo....Hakunaga
No comments:
Post a Comment