Tuesday, October 25, 2011

ARTIST AZIZ AZION AMSHITAKI PROMOTER UGANDA


AZIZ AZION - UGANDAN ARTIST Artist Aziz Azion toka Uganda amefungua kesi kwenye mahakama ya Mengo dhidi ya promoter anayekwenda kwa jina la Kisseka Irene kwa kushindwa kumlipa deni lake la milioni 8 za Uganda anazomdai
Deni hilo linatokana na concert iliyoandaliwa na Kisseka pande za Kavumba Recreation Center mwezi May mwaka jana na kuelewana kupiga mzigo kwa Shs milioni 12 na Aziz Azioin kulipwa advance ya Shs milioni 4 tu na milioni 8angemaliziwa baadaye....Lakini hadi leo....Hakunaga

No comments:

Post a Comment