Sunday, April 7, 2013

YALIYOJILI KWENYE PARTY YA KAJALA (AMBASSADOR LOUNGE)

BONGO DAWN TOWN
Usiku wa J.mosi hii pale Ambassadador Lounge ulikuwa ni usiku wa Kajala ambapo alifanyiwa
Party ilimkutanisha na Ndugu,Jamaa,Marafiki pamoja na Mashabiki wake...
Kajala aliambatana na Rafiki yake kipenzi Wema Sepetu na walikata Cake kwapamoja...

Wema, Ally Nipishe & Kajala...


Hapa wakiingia ndani ya Ukumbi wa Ambassadador Lounge




Hizi ni Cake mbili alizoandaliwa Kajala usiku huo...


Akiongea na Raia....

Wema pia alipewa Nafasi yakuongea....

Baada ya Kajala kuskia sauti ya Wema machozi yalimwagika....


No comments:

Post a Comment