Friday, December 23, 2011

HONGERA JCB KWA KUPATA MTOTO WA KIUME

Leo hii, msaa matatu yaliyopita,mke wa msanii Jcb (Diana) amejifungua mtoto wa kiume. 
" ni kweli aisee amejifungua mtoto wa kiume ndio nishakua baba flani, jina mpaka saa hii sijampatia ila litakuwa la kawaida tu, nafikiria kumpa jina la babu yangu" amesema JCB.
Hongera sana jombaa, mlee kijana

No comments:

Post a Comment