Sunday, October 30, 2011

Sherehe za kutimiza miaka Mitano ya 8020 Fashion Blog zafana leo

Shamim Zeze akimkaribisha mgeni rasmi ,Mh Angellah Kairuki kuzindua nembo ya mavazi (B2A) kama ionekavyo pichani,mbele ya wagine waalikwa mbalimbali walifika kwenye hafla hiyo ambapo kinywaji cha Baileys kutoka kampuni ya bia ya Serengeti Breweries Ltd,ilkuwa ni sehemu ya wadhamini.
Pichani Shamim Mwasha akikata keki ikiashiria kutimiaza miaka 5 ya blog yake ya 8020 anayoimiliki,kati ni mgeni rasmi Mh.Angellah Kairuki pamoja na Mwanyekiti wa Tanzania Mitindo House,Khadija Mwanamboka wakilishuhudia tukio hilo adhimu.

No comments:

Post a Comment