Sunday, October 2, 2011

MAISHA CLUB YAZIDI KUWASHIKA WADAU WA BURUDANI DODOMA

" ROBERT FRANK (mwenye nyeusi)Big manager mzee wa club tatu..Maisha "Dar", 4Stars Club na Maisha "Dodoma"
Ilinibidi kuwai kuona Club, kwani nilipofika tu.nilikalibishwa na mwenyeje wangu ambaye ni manager wa club Maisha dodoma
huku tumeteka mji na baada ya hapa tunaelekea maeneo mengine kibiashara zaidi "manage"
kwani muda ulivokuwa unaenda nikajikuta sina hata sehemu ya kukanyaga
Dj s-Dizo

No comments:

Post a Comment