Thursday, April 11, 2013

WITNES WA WAKILISHA HAYUPO TENA KATIKA NDOA YAKE

BONGO DAWN TOWN
Msanii Witnes pichani amenitumia ujumbe huu, "Hi,I want to tell every one kwamba am no longer married to Mokeys.I wanted you to know from me and please don't asky why.Much Love.

So sad,hii inamaanisha kuwa hakuna ndoa tena kati yake na mume wake ambaye walifunga ndo kama mwaka mmoja uliopita.

No comments:

Post a Comment