Thursday, July 5, 2012

LIL REESE" NI MSANII MPYA KUSAINI DEF JAM

Chuma Blog
.
Rapper Mkali kutoka Chicago anamipango ya kuachia kuachia mixtape yake inayoitwa “Don’t Like” akiwa na Chief Keef na Friddie Gibbs baadae wiki hii. Ni wiki chache zimepita toka ilipotangazwa kuwa Chief Keef atasaini na Interscope Records, Imeonekana Rapper mdogo kutoka Chicago amesainiwa na label kubwa ya Def Jam Recordings katika Press Release kwamba Rapper huyo mwenye miaka 19 amesaini label hiyo. Akifunguka Rais wa Def Jam Joie Manda alisema wamemchukua rapper huyo na kuwa na maono mengine Mashariki ya kati. Lil Reese ataachia mixtape yake ya “Don’t like” Itakayotoka tarehe 4 Mwezi wa 7.

No comments:

Post a Comment