Chuma Blog

Pichani: Linex, Peter Msechu & Abdu Kiba Wasanii wale wa bongo
fleva waliotokea Kigoma hivi sasa wapo jijini tayari kwa show yao ya
tarehe 17/07/2012. Wasanii hao ni kama Linex, Abdu Kiba, Mwasiti,
Recho, Banana Zoro, Diamond, Ommy Dimpoz, Queen Dlyn,
Macomandor..etc..Show hiyo itakuwa "BURE"katika uwanja wa Lake
Tanganyika...
No comments:
Post a Comment