Tuesday, July 3, 2012

Jason Derulo kuperform nchini Rwanda

Chuma Blog

Mwanamuziki wa R&B wa nchini Marekani Jason Derulo anatarajiwa kwenda kutumbuiza mjini Kigali, Rwanda kwenye fainali za mashindano ya Primus Guma Guma Superstar Season 2 (PGGSS 2) July 28, 2012.
Primus Guma Guma SuperStar ni shindano la muziki nchini Rwanda ambalo huwaleta wasanii wote wakubwa kushindana na mshindi kupewa jina la Primus Guma Guma SuperStar.


No comments:

Post a Comment