Tuesday, June 26, 2012

NILICHOKUTA LEO KATIKA FACEBOOK KUHUSU DIAMOND

Chuma Blog
DIAMOND (Msanii)

AchakudanganywaUkitaka kujua ukweli kwamba DIMOND hajasaidiwa na mama yake wala flimason, mpaka kufika hapo alipo bali ni propaganda zake na kuficha ukweli uliopo kufuta ubishi huu mtafute papaa bosi wake aliekua mzamini wake akupe ukweli wamambo kuhusu DIMOND kwambahana fadhila naakwambie aliko mtoa kamahakuna nguvu ya sangoma aitwae ustadhi yahaya wakigogo luhangha mnitoe kafala, dogo hakumbuki waliomfikishahapo anazuga kwamba kasaidiwa namama yake, wakatihuo akiomba mungu nawazamini wakumtoa mamayake alikua hanahata pesa yakupigia lamli ange mtoavipi? huyu dogo kinacho msumbua ni roho mbaya nakurewa sifa!
· · · Sunday at 12:56am via mobile ·

2 comments:

  1. FREDY
    ULIYOYASEMA WALA SIO AJABU KWA MAISHA YA WATANZANIA WOTE KWANI USHIRIKINA NDIO JADI YA KILA MTANZANIA NAWEZA KUSEMA LABDA NI 1% TU AMBAO WANAMUOGOPA MUNGU KWA KUTOMSHIRIKISHA NA IMANI MBOVU KWA HIYO SIKU ZOTE MASIKINI HAKIPATA BASI HAO ALIOWAACHA CHINI WATAMMIND, NA ALIYEPATA JEURI NI NDIO LAZIMA ATAKUWA NAYO SO SIONI CHA KULALAMIKA ELEWA KUWA HAYO MALALAMIKO YAKO NDIO UNAZIDI KUMFAGILIA HUYO BWANA MDOGO DIAMOND.

    ReplyDelete
  2. nguvu za sangoma kumbe

    ReplyDelete