Monday, May 21, 2012

“FLAVIANA MATATA FOUNDATION (FMF)” KUTOA MSAADA WA VIFAA VYA KUOKOLEA MAISHA MAJINI…!!





Mwanamitindo mahiri wa kimataifa Flaviana Matata ambae in founder wa Flaviana Matata Foundation (FMF) amekuja nchini akitokea nchini U.S.A ambako ndiko anapoishi  kwa sasa mahsusi kwa ya ajili ya kugawa msaada wa vifaa vya kuokolea maisha majini (Life Vests)  ikiwa ni miaka 16 tangu meli ya MV Bukoba izame ambapo mama yake mzazi alifariki kwenye ajali hiyo, anatarajia kugawa msaada wa vifaa hivyo Jumatatu ya 21 May jijini mwanza.

No comments:

Post a Comment