Tuesday, April 10, 2012

LIVE KUTOKA LEADERS CLUB KWENYE MAZISHI YA STEVEN KANUMBA

Chuma Blog
 Wanakwaya wakiimba nyimbo za uzuni.

Hii ndio sehemu ambayo mwili wa marehemu Kanumba unatarajiwa kuwekwa 

 Hawa watoto wanaopita ndio watoto waliokuwa wakicheza movie na marehemu Kanumba enzi ya uhai wake

 Mama yake Kanumba aliyenyoosha mkono juu kuwapungia watu waliokuja uwanjani

 Huyu dada hapa mbele alikuwa akilia kwa uchungu sana hadi nilikuwa namuonea huruma

 Hemed na Yusuph Mlela wakiingia

Makamu wa rais Dk. Mohamed Ghalib Bilali 

 Mke wa rais Mama Salma Kikwete

Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi akitoa heshima zake za mwisho kwenye mwili wa marehem.
 
Picha na Dj Choka

No comments:

Post a Comment