Friday, April 6, 2012

AFAFANDE SELE ATOKWA NA MACHOZI MAKALI POLISI MOROGORO (PICHA ZAIDI)

Chuma Blog
Afande Sele akiwa kaunta ya Polisi akichukuliwa maelezo baada ya kutoka kwenye tukio
Afande sele akilia kwa machungu baada ya kutoa maelezo yake nakuambiawa akae chini.
20 parcent akitokwa na Damu baada ya kupata kipigo na Polisi
 
Afande sele na 20 parcent wakiwa kwenye majonzi mazito na kujikuta wakilia kutokana na tukio
Sikiliza maelezo kutoka  kwa mkuu wa Polisi Morogoro

No comments:

Post a Comment