...hii ndio gari ambayo Diamond ametumia kufika mahakamani leo asubuhi...
MSANII wa muziki wa Kizazi kipya Diamond amewasili mjini Iringa na atapandishwa kizimbani ktk mahakama ya Mwanzo Bomani asubuhi hii ,mapaparazi wajipanga mahakamani kupata picha za tukio hilo... |
No comments:
Post a Comment