Saturday, September 17, 2011

SUGU SIMAZI KUBWA KWA WANAMBEYA SOKO LA SIDO KUTEKETEA KABISA









Mh mbunge akitafakari jambo katika eneo la sido ambapo sehemu kubwa ya soko lilikuwa limekwisha teketea kabisa pia anatoa Pole kwa Wakazi wote wa Jimbo la Mbeya Mjini na kuwasihi wawe Wavumulivu katika Kipindi hiki Kigumu.

 Mabaki ya vibanda pamoja na maduka yaliokuwepo katika eneo hili , ina semekana kulikuwa na wafanya biashara zaidi ya 1400 katika soko hili

                       Sugu akipita huku na kule kuhakikisha kazi ya uzimaji moto ina endelea

Soko la mwanjelwa eneo la sido mbeya lawaka moto chanzo mapaka sasa hakijajulikana
Moto mkubwa ukiendelea kuwaka
Baadhi ya  mabanda sokono hapo tayari yameteketea kabisa na moto

Ungana na mbunge wa Mbeya mjini kupitia picha, alipotembelea soko la sido, Mwanjelwa Mbeya kukagua madhara ya janga la moto na kuwafariji wahanga kupitia 

No comments:

Post a Comment