Kwa wale wasanii wanaotafuta nafasi yakurecord katika studio za M Lab bilashaka kesho ndiyo siku pekee yakuonyesha uwezo wako mbele ya wana M Lab ndani ya Mbalamwezi beach club Mikocheni karibu na Cine club, kisha waweza kujinyakulia nafasi yako kwa kiingilio cha shilingi elfu tano tu mlangoni.
No comments:
Post a Comment