Tuesday, September 6, 2011

ARTIST RABADABA TOKA UG....AUZA BAR YAKE...



Luga Flow Artist Rabadaba toka Uganda inasemekana ameuza bar yake aliyoifungua hivi karibuni jijini Kampala iitwayo Badabara Bar
Badabara Bar ilifunguliwa miezi 3 iliyopita na imefunguliwa kuwa Rabadaba alikua kwenye mishe mishe za makubaliano ya kuiuza na askari wa Jeshi la Uganda (UPDF) aitwaye Emma ambaye ana mapango wa kuinunua

No comments:

Post a Comment