Sunday, October 9, 2011

JUMAMOSI ILIKUWA HIVI..........

Nikiwa katika eneo la Mkambalani,Wilaya ya Mvomelo ambapo kila baada ya wiki mbili ufanyika mnada wa mifugo



kwani hii ndio moja ya burudani hiliyo nifanya kufika hapo katika mnada huo
Kwani nilikuta watu wakitafuna nyamba,nikawauliza kunaumbali gani toka mjini hadi mnadani wakasema kuwa ni 52 Km,Ni kwajili ya nyamba tu wakasema ndio kwani nyama hii ni yakipekee.
kama unavoona nyama inavo chomo kiasili na ukila ilakuwaje ?

kwani wamasai ndio wametawala katika eneo hilo na sio tu hao na wengine toka Morogoro na Dodoma
Mi na Mdau wangu


No comments:

Post a Comment