Msanii toka Nigeria J Martins yuko mbioni kutoa ngoma kali mbili ambazo moja kati ya nyimbo hizo amefanya kijana machachali toka nchini Angola mkali wa miondoko ya ' Kuduro ' Cabo Snoop. Wasanii hao walikutanishwa katika tamasha lililoandaliwa na MTV nchini Angola ambapo, wasanii kama Fally Ipupa, 2face & Cabo "windeck kid" walifanya mambo. Mashabiki kaeni mkao wa kula ...

No comments:
Post a Comment